Sera ya fedha ni maamuzi na kazi zinazofanywa na Benki Kuu kwa niaba ya serikali ili kudhibiti ujazi wa fedha katika uchumi kwa kuongeza au kupunguza ...
Benki Kuu ya Tanzania imepewa mamlaka ya kutoa leseni, kusimamia, kudhibiti na kufuta leseni za benki, taasisi za fedha pamoja na maduka ya fedha za kigeni. Taasisi za Fedha ni ...
Sheria ya Mifumo ya Malipo ya Taifa ya mwaka 2015 inatoa mamlaka kwa Benki Kuu ya Tanzania kusimamia na kudhibiti mifumo ya...
Benki Kuu ya Tanzania inatumia masoko ya fedha, dhamana za serikali na uuzaji na ununuzi wa fedha za kigeni katika kutekeleza sera ya fedha, kuhakikisha...
Kwa mujibu wa Sheria ya Benki Kuu ya mwaka 2006, Benki Kuu ya Tanzania ni taasisi pekee yenye jukumu la kutoa noti na sarafu nchini Tanzania,ambazo zitakuwa...
Benki Kuu ya Tanzania ni wakala wa huduma za kibenki kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar.
Huduma jumuishi za kifedha huchangia katika ujumuishi wa kifedha katika sekta ya fedha, kwa mtu mmoja mmoja na biashara kufikiwa na kutumia bidhaa...
Tarehe ya biashara:19-Apr-25
Kununua Kuuza
BIF 0.8983 0.8912
EUR 3022.562 3053.325
GBP 3525.3469 3561.6751
JPY 18.7051 18.8908
KES 20.5503 20.676
RWF 1.8755 1.9172
UGX 0.6976 0.7319
USD 2660.2376 2686.84
GOLD 8853510.233 8944759.044
ZAR 141.6557 143.0258
Overnight IBCM
Tarehe ya Biashara
4/16/2025
Kiasi (Million TZS) 68,000.00
JUU 8.00
CHINI 8.00
WASTANI 8.00
Soma zaidi..
7 Day IBCM
Tarehe ya Biashara
4/17/2025
Kiasi (Million TZS) 103,372.50
JUU 8.00
CHINI 7.00
WASTANI 7.98
Soma zaidi..
REPO
Tenure (Days)
WAR
Kiasi (Million TZS)
7 (3/28/2024) 5 100,000.00
14 (3/28/2024) 5.5 100,000.00
6 (6/30/2023) 3 60,000.00
30 (5/2/2023) 3 20,000.00
8 (12/23/2013) 5.5 15,000.00
4 (12/23/2013) 5 15,000.00
10 (12/20/2013) 5 15,000.00
REVERSE REPO
Tenure (Days)
WAR
Kiasi (Million TZS)
7 (1/16/2025) 8 50,000.00
14 (10/7/2024) 8 100,000.00
30 (1/14/2022) 6.5 8,000.00